Pages

Subscribe:

Thursday 29 January 2015

WASANII WAFUMWA WAKIDENDEKA LIVE PARTY YA AMANDA !!!


Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ akimlisha keki rafiki yake, 'wastara'.
Na Hamida Hassan/Ijumaa
Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ hivi karibuni alifanyiwa pati ya bethidei ambapo kwenye zoezi la kuwalisha keki mashosti zake, aliwashangaza watu kwa kusema wote atawalisha kwa mdomo ‘staili ya kudendeka’.
‘Amanda’akiwalisha keki mashosti zake.
Pati hiyo ilifanyika juzikati kwenye Ukumbi wa Tamigamiga, Mbezi Beach jijini Dar ambapo mbali na staili hiyo ya kulishana keki, eneo la tukio lilitawaliwa na vituko kutokana na mastaa wengi kuwa bwii.
‘Amanda’akipozi na mdogo wake anayefahamika kwa jina la Sabrina.
Akizungumzia sherehe hiyo Amanda alisema: “Ilikuwa ni siku muhimu sana kwangu na nilifarijika kuona wasanii wengi kama vile Riyama, Esha Buheti, Wastara na wengineo wamejitokeza kufurahi na mimi. Ila kulishana keki vile ni staili ya kinjiwanjiwa, hahaaa!”

0 comments:

Post a Comment