Pages

Subscribe:

Wednesday 16 July 2014

JINSI YA KUTUMIA MAKALIO MAKUBWA KUMPOTEZEA FAHAMU MWANAUME!!





siku hizi dada zetu wamekua kwenye wakati mgumu pale ambapo mwenye umbo kubwa nyuma ndo anaonekana mwenye mvuto na mwenye thamani zaidi kuliko wengine. kutokana na hilo imetokeashida ya wao kuhangaikia vifaa mbali mbali vya kufanya makalio yao yaonekane makubwa.  kuna dawa za kukuza za vidonge au sindano, pia kuna nguo zenye sponge kwa makalio, na kuna vibana makalio kwa pembeni kama huyu dada alichokifanya.  ukimuona nje ni mdada mwenye makalio hatari lakini kumbe kayabana ili yavimbe katikati na kuonekana makubwa zaidi naili watu wavutiwe zaidi.kina dada wanakazi sana.  ndo dunia ya sasa inavyoenda.
ila kiukweli wengi wanaume wanatamani sana wanawake wenye makalio makubwa, lakini kiukweli kabisa hua wanawatamani na sio kuwapenda,  hawa wenye makalio makubwa hua ni haraka kuwapandisha nyege wanaume kuliko wale wembamba na wanaume hua wanafikiria kwenye kushika shika viuno na kuchezea nyama hizo kipindi cha kufanya ngono. ila kwenye kuoa hua ni nadra sana kwasababu wengi hufikiria sio yeye tu atakayekua anamiliki, bali kuna uwezekano wengine wakawa wanamsaidia mke, hivyo wengi huoa wa kawaida tu na hawa wenye makalio huishia kuchezea na wanaume mpaka wanajikuta wamezeeka.

0 comments:

Post a Comment